WORLD CUP: SHUHUDIA MABINGWA NA WALIOTWA ZAWADI ZA MASHINDANO MESSI, POGBA WAIBUKA KIDEDEA

WORLD CUP: SHUHUDIA MABINGWA NA WALIOTWA ZAWADI ZA MASHINDANO MESSI, POGBA WAIBUKA KIDEDEA

No Comments
Embedded image permalink
Embedded image permalink

Lionel Messi wins the Golden Ball.
Embedded image permalink
GOLDEN GLOVE – Manuel Neuer wins
Embedded image permalink
FAIR PLAY AWARD: Colombia

Embedded image permalink
POGBA MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI
Embedded image permalink
GOLDEN BOOT: James Rodriguez
Embedded image permalinkEmbedded image permalink
Mario Gotze’s winner was the 32nd sub goal of the tournament,a record
HIVI NDIVYO ARGENTINA WALIVYOKUFA MBELA YA WAJERUMANI

HIVI NDIVYO ARGENTINA WALIVYOKUFA MBELA YA WAJERUMANI

No Comments
Mario Goetze of Germany scoresMario Goetze of Germany celebrates scoring his team's first goal in extra time as referee Nicola Rizzoli signalsMario Goetze of Germany celebrates scoringPhilipp Lahm of Germany reacts after a challenge by Rodrigo Palacio of Argentina Mario Goetze of Germany celebrates scoringMario Goetze of Germany celebrates scoringGeneral view during the 2014 FIFA World Cup Brazil Final match between Germany and Argentina Gonzalo Higuain of Argentina and Manuel Neuer of Germany

PSG YATAKA KUIPOKONYA TONGE MDOMOMI MAN UNITED, DI MARIA HUENDA AKATUA UFARANSA

No Comments
KLABU ya Paris Saint-Germain ipo kwenye nafasi nzuri zaidi ya kumpata winga wa Real Madrid, Angel Di Maria, ambaye pia anatakiwa na Manchester United. 
Mshambuliaji huyo wa pembeni wa Argentina mustakabali wake haueleweki Bernabeu baada ya Real kuwa katika mpango wa kumsajili nyota wa Colombia, James Rodriguez. 
Pamoja na hayo, kocha Carlo Ancelotti hayuko tayari kumpoteza Di Maria, ambaye alikuwa na mchango mkubwa msimu uliopita wakati Real ikitwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya, ingawa Rais Florentino Perez amemtambulisha Rodriguez kama 'galactic mpya'.
Yuko juu: Di Maria alikuwa ana msimu mzuri uliopita Real Madrid na sasa yuko njiani kuondoka

PSG sasa wanaamini wanaongoza mbio za kuwania saini ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26, Di Maria, ambaye ana miaka minne katika Mkataba wake ya kuwa kazini Madrid. 
Real inaweza kusikiliza ofa ya kuanzia Pauni Milioni 50 kumuuza Di Maria owe kutoka kutoka PSG na United.

ROBBEN AMCHOMOLEA MACHO KWA MACHO VAN GAAL SUALA LA KUHAMIA MAN UNITED

No Comments
WINGA Arjen Robben amesema alimkatalia kocha wake wa timu ya taifa, Louis van Gaal wazo la kujiunga na klabu yake mlya, Manchester United.
Van Gaal ameipa Uholanzi nafasi ya tatu katika Kombe la Dunia baada ya jana kuifunga mabao 3-0 Brazil na baada ya hapo, Robben amesema kwamba kocha huyo mwenye umri wa miaka 62 alimtaka katika timu yake mpya, Old Trafford.
"Baada ya mechi aliniomba nije Manchester," Robben alisema akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Uholanzi, NOS.
Amekosekana: Louis van Gaal amemkosa Arjen Robben aliyetaka kuhamia nays Manchester United

Lakini kwa bahati mbaya kwa mashabiki wa United, Robben amepiga chini ombi hilo na kusema: "Nina furaha sana kwa mahali nilipo. Nilimuambia (Van Gaal) hivyo. Van Gaal ni kocha bora niliyewahi kuwa naye. Tumekuwa a uhusiano mzuri sana, lakini siwezi kuhama. Niko sehemu sahihi Bayern, hivyo sina cha kufanya na Van Gaal au United,".
Baadaye na Van Gaal akathibitisha nia yake ya kumsajili Robben atue Old Trafford. "Wakati wowote anakaribishwa. Lakini anajua hiki yeye mwenyewe,"amesema.
Pals: Robben said he had a 'special' relationship with Van Gaal but rejected an Old Trafford switch
Twende Old Trafford: Van Gaal ameshindwa kumshawishi Robben ahamie Old Trafford
SHAMRA SHAMRA ZA MWISHO KOMBE LA DUNIA 2014

SHAMRA SHAMRA ZA MWISHO KOMBE LA DUNIA 2014

No Comments
The World Cup trophy sits on displayFormer Spanish international Carles Puyol and model Gisele Bundchen walk in the tunnel to present the World Cup in a Louis Vuitton travel caseSinger Ivete Sangalo and musician Carlinhos Brown perform during the closing ceremonyMusician Wyclef Jean and singer Alexandre Pires perform during the closing ceremonyMusicians Carlos Santana, Wyclef Jean, Shakira, her son Milan, Alexandre Pires are seen on stage during the closing ceremonyArtist perform during the closing ceremonyFIFA President Joseph S.Blatter attends with  Brazilian President Dilma Rousseff  and  Russian President Vladimir PutinFIFA Secretary General Jerome Valcke, Vanessa Lorenzo, NFL athlete Tom Brady, model Gisele Bundchen, and Carles Puyol look onArgentina fans enjoy the atmosphereGermany fans enjoy the atmosphere Former Brazilian international Kaka, former Brazilian international Pele and former England international David Beckham look onDancers perform during the closing ceremony
LUIZ FELIPE SCOLARI ANA `ROHO YA PAKA`, HII NDIO KAULI YAKE BAADA YA KUCHAPWA 3-0 NA UHOLANZI!!

LUIZ FELIPE SCOLARI ANA `ROHO YA PAKA`, HII NDIO KAULI YAKE BAADA YA KUCHAPWA 3-0 NA UHOLANZI!!

No Comments
434667_heroa
LUIZ Felipe Scolari amesema hatajiuzulu katika nafasi yake ya ukocha wa timu ya taifa ya Brazil, licha ya timu yake kufungwa mara ya pili mfululizo ndani ya siku tano.
Brazil walifungwa mabao 7-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa Belo Horizonte siku ya jumanne ya wiki hii na usiku wa jana walifungwa mabao 3-0 na Uholanzi na kumaliza katika nafasi ya nne ya fainali za 2014 za kombe la dunia kwenye ardhi yake.
Kabla ya mashindano haya, Brazil  ilikuwa haijapoteza mechi nyingi za nyumbanii tangu mwaka 2002 na walikuwa hawajawahi kufungwa nyumbani katika mashindo ya mpira wa miguu tangu mwaka 1975, lakini kufungwa mara mbili mfululizo ndani ya siku tano kumewachangaya mashabiki  na waandishi wa habari wan chi hiyo.
Lakini Scorali alikutana na waandishi wa habari baada ya kufungwa na Uholanzi na kusisitiza kuwa shirikisho la soka nchini Mbrazil litaamua hatima yake ya baadaye.
“Ulikuwa mchezo wenye nguvu sawa,” alisema. “Wachezaji wanatakiwa kupongezwa kwa jinsi walivyocheza. Hatukucheza vibaya-hayo ndio maoni yangu”.
“Kwasasa sio muda muafaka wa kuzungumzia hilo, “ alisema Scolari. “Nitaandika ripoti yangu na kumwambia rais wa CBF ni kitu gani nadhani hakikwenda sawa, yeye ataamua nini anataka kwa baadaye. Tumepoteza mechi nyingine, lakini maisha yanaendele”.
“Mwaka mmoja uliopita nilishinda kombe la mabara,” aliongeza. “Makosa hayako kwa makocha. Kitu ni kwamba tuna timu ya vijana sana. Hatujazalisha wachezaji wa kutosha, kwahiyo sio kazi rahisi hata kama Kocha mwinine atakuja”.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=3420#sthash.XHpGayew.dpuf

LOGARUSIC AELEZEA ANAVYOTAKA KUSHANGILIA USHINDI WA SIMBA

No Comments

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic amesema anataka kuwa na furaha na hakuna kitakachomfurahisha zaidi ya kuona kikosi chake kinashinda.

Loga raia wa Croatia amesema anataka kuwa na maandalizi ya uhakika katika kipindi cha sasa kwa kuwa ndiyo muhimu kumpatia ushindi.
“Ukikosea katika kipindi cha mwanzo, basi ujue una kazi ngumu. Furaha ya kufanya vizuri ni jambo jema kwa kocha yoyote.
“Natamani kushangilia kila wakati, lakini najua furaha itapatikana kama nitafanya mambo ya uhakika sasa na wachezaji wanapaswa kujituma na kunivumilia,” alisema Logarusic.
Tayari Loga ametua jijini Dar es Salaam na anaanza kazi kesho kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya wa 2014-15.

GEOFREY NYANGE KABURU KWA HILI SINA TATIZO NA WEWE SIMBA SC

No Comments
KABURU
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
0712461976
MAKAMU wa Rais wa Simba sc, Geofrey Nyange `Kaburu` ni miongoni mwa watu wenye mtazamo sahihi katika soka la vijana nchini Tanzania.
Inawezekana ana mapungufu yake kama ilivyo kwa mtu yeyote, lakini mara zote mtazamo wake wa kuendeleza soka la vijana katika klabu ya Simba unanivutia sana.
Ili kutengeneza mfumo na falsafa ya klabu, huwezi kukwepa soka la vijana. Timu kama Barcelona zilianzisha mpira wa aina ya `Tiki -taka` . Huu ni mfumo wa kucheza mpira kwa kumiliki maeneo yote muhimu ya uwanja.
Mpira huu huwa wachezaji hawasimami eneo moja kama ilivyo kwa mifumo mingine. Wachezaji wanatakiwa kubadilishana nafasi kadri wawezavyo. Mlinda mlango pekee ndiye mchezaji anayebaki eneo moja.
Katika mfumo wa `Tiki-Taka`, beki anaweza kuwa mshambuliaji, kiungo anaweza kuwa beki, mshambuliaji anaweza kuwa beki ndani ya uwanja. Yaani kama beki wa kati amepanda, kiungo wa kati anarudi kukaba nafasi yake. Kama beki wa kulia amepanda kupandisha mashambulizi, winga wa kulia anaweza kushuka katika nafasi ya kulia kuzuia.
Ninachojaribu kusema ni kwamba kwenye mpira wa `Tiki-taka`, hakuna kukaa nafasi moja, yaani kama ni namba tisa unaweza kuwa mlinzi kwa muda wowote uwanjani au beki unaweza kushambulia .
IMG_1687Ramadhan Singano `Messi` (kulia) ni zao la Simba B
Huu ndio mpira waliocheza Barcelona kwa muda mrefu tangu wauasisi mwaka 1990, Mlanzi Johan Cruyff akiwemo. Walifanikiwa kuzisumbua timu nyingi za dunia hii. Haikuwa rahisi kuifunga Barca, na kwakuwa wachezaji wengi wa Barcelona walikuwa wanacheza timu ya taifa, wakajikuta wanahamishiwa mfumo huo kwa soka zima la Hispania.
Siku za karibuni, `Tiki-taka football` imekumbana na changamoto. Watu wamejua namba ya kucheza na mfumo huu. Hii inawalazimu Barca na Hispania kukaa chini kuboresha zaidi mpira huu na kuleta mpango B kwasabau huu unaelekeka kushindwa. Si kwamba mpira huu umekwisha, lakini wanatakiwa kuufanyia maboresho.
Ili ufanikiwe kucheza `Tiki-taka football`, moja ya vitu vya kuzingatia ni kuwa na wachezaji ambao wanaweza kucheza nafasi tofauti tofauti uwanjani.
Kwa maana ya mchezaji awe na uwezo wa kusimama nafasi tofauti, ili pale anapotakiwa kuwa beki anatakiwa kufanya hivyo. Na ili kuwapata wachezaji wa aina hii, lazima uwe na akademi za vijana wenye umri tofauti.
Barcelona wana akademi za vijana wa kila aina, wapo 6-10, 10-12, 12-14, 14-16, 16-17, 17-18, na kadhalika. Kwa mfumo huu ni rahisi kumuendeleza mchezaji na kumfundisha nafasi tofauti tofauti uwanjani.
Tiki-taka ni mfumo unaohitaji muda mrefu sana kufikia malengo.
Mkude5Jonas Mkude ni tunda la Simba B
Kaburu wa Simba wakati akiwa makamu mwenyekiti wa klabu hiyo enzi za utawala wa Ismail Aden Rage, alifanya kazi kubwa kuhakikisha Simba ya vijana maarufu kama Simba B inakuwa na mafanikio.
Kocha msaidizi wa Simba, Suleiman Abdallah Matola `Veron`, na aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Simba, Ibrahim Masoud `Maestro` wakisaidiana na Kaburu walifanikiwa kuzalisha vijana wazuri.
Ramadhan Singano `Messi`, Said Ndemla, Jonas Mkude, Harun Chanongo, Edward Christopher, Wiliam Lucian `Gallas` ni moja ya matunda ya mpango huu makini.
Simba na Azam zimekuwa klabu za mfano kwa soka la vijana. Wengine wanajikongoja, lakini kwa klabu hizi mbili angalau zina mwelekeo ingawa kuna changamoto.
Siku chache zilizopita, Kaburu alisimamia usajili wa wachezaji wawili vijana chini ya miaka 20, Peter Manyika Junior pamoja na beki kinda wa Mwadui ya Shinyanga, Ibrahim Hajibu Migomba.
Baada ya usajili huo, Kaburu alisema malengo ni kuijengga Simba B.
Kwa hili nampongeza Kaburu na wenzake, lakini nadhani imefika wakati wa Simba kuwa na mfumo rasmi wa kupata wachezaji wake.
Kama wanataka kuifanya Simba kuwa klabu bora, lazima viongozi wajikunje kujenga akademi  ya soka la vijana. Lengo liwe ni kuchukua vijana wa umri mdogo zaidi na kukuzwa katika mfumo na utamaduni wa Simba.
Hii itaifanya kuwa klabu ya kisasa. Kwanza wachezaji watakaozalishwa watakuwa wazalendo kwa Simba. Kama mchezaji amekulia katika mazingira ya Simba, lazima aipende klabu yake.
Harun Chanongo (kulia) akiwakimbizi mabeki wa FC Libolo ya Angola kwenye moja ya mchezo wa ligi ya mabingwa barani Afrika. Nyota huyo ni zao la Simba B
Uliona Fabregas, alikuwa Asernal, lakini bado akili ilikuwa Barcelona. Leo hii huwezi kumuondoa, Lionel Messi,  Iniesta, Harnandez katika klabu ya Barcelona. Wamekaa kwa muda mrefu na wanaona utumwa kutoka Katalunya.
Ili kuiga hili,  Kaburu lazima awekeze muda na fedha katika soka la vijana. Inaweza kuwa ngumu kutokana na uwezo wa klabu, lakini naamini Simba ina uwezo wa kufanya hivyo kama nia itakuwepo.
Amini usiamini, mpango huu wa soka la vijana utaibadilisha Simba. Kama Messi, Mkude, Chanongo ni muhimu kwasasa katika timu, basi mafaniko haya yanatakiwa kuwasukumu zaidi kuendeleza soka la vijana.
Kuna haja ya kutafuta utamaduni wa mpira wa Simba ili kuwajenga wachezaji katika mfumo mmoja. Na ili kufanikiwa, lazima pia waamue kuwaamini makocha na kuwapa muda zaidi.
Tafuteni walimu wanaoendana na mpira mtakaobuni katika klabu ya Simba  ili wafanye kazi na vijana wenu kutengeneza mpira rasmi wa Simba.
Leo Milovan, kesho Liewig, keshokutwa kibadeni, mtondo Logarusic. Hapa mtakuwa mnajidanganya tu.
Kaburu kwa hili sina tatizo nawewe, nitakuunga mkono kwa ushauri pia.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=3434#sthash.sdMUKkXB.dpuf
TAIFA STARS YAPATA KICHAPO KIKALI BOTSWANA

TAIFA STARS YAPATA KICHAPO KIKALI BOTSWANA

No Comments
taifa-stars-2014
Timu ya Taifa (Taifa Stars) imevurumishwa mabao 4-2 katika mechi ya kirafiki na Botswana jana.
Mechi hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Gaborone ni sehemu ya maandalizi ya Taifa Stars kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika dhidi ya Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Julai 20 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mabao ya Taifa Stars yalifungwa na Khamis Mcha `Vialli` na nahodha wa Azam fc, John Raphael Bocco `Adebayor`
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inatarajiwa kurejea nchini Julai 6 mwaka huu kuendelea na programu nyingine kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji.
shaffihdauda.com
MZEE WA KUNG'ATANG'ATA LUIS SUAREZ HUYOO BARCELONA

MZEE WA KUNG'ATANG'ATA LUIS SUAREZ HUYOO BARCELONA

No Comments
article-2677164-1F43D0D600000578-630_634x347
Anaondoka? Liverpool na Barcelona wanatarajia kuanza mazungumzo juu ya kuuziana Luis Suarez.
KLABU za Liverpool na Barcelona zinatarajia kuanza kufanya mazungumzo juu ya bei ya awali ya paundi milioni 80 ili kuuziana mshambuliaji mweye matatizo kwa sasa, Muurguay, Luis Suarez.
Mtandao wa michezo wa Sportsmail unafahamu kuwa maofisa wa Liverpool, akiwemo mkurugenzi mtendaji, Ian Ayre, wamekubali kukutana na mkurugenzi wa michezo wa FC Barcelona, Raul Sanllehi,  mjini London ili kujadiliana thamani ya mchezaji huyo mwenye miaka 27.
Barcelona wanatazamiwa kutoa paundi milioni 60 kwa kuzingatia kuwa Suarez amefungiwa miezi minne kucheza soka baada ya kumng`ata beki wa Italia, Giorgio Chiellini.
Liverpool hawapo tayari kushusha bei ya Suarez, lakini wanataka kumhusisha mshambuliaji wa Barcelona Alexis Sanchez kama sehemu ya makubaliano hayo.
Controversial: Suarez has been linked with a move to Barcelona after being banned from football for four months
Suarez anahusishwa kujiunga na Barcelona baada ya kufungiwa miezi minne kucheza soka.
Barcelona wanasema mchezaji wao wa kimataifa wa Chile ana thamani ya paundi milioni 35, lakini tayari wameshakataa ofa ya paundi milioni 20 kutoka kwa Juventus ya Italia iliyokuwa na nia ya kumsajili nyota huyo mwenye miaka 25.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=2969#sthash.oxTLgBpp.dpuf

FOOTBALL

ATHLETIC