ROBBEN AMCHOMOLEA MACHO KWA MACHO VAN GAAL SUALA LA KUHAMIA MAN UNITED

No Comments
WINGA Arjen Robben amesema alimkatalia kocha wake wa timu ya taifa, Louis van Gaal wazo la kujiunga na klabu yake mlya, Manchester United.
Van Gaal ameipa Uholanzi nafasi ya tatu katika Kombe la Dunia baada ya jana kuifunga mabao 3-0 Brazil na baada ya hapo, Robben amesema kwamba kocha huyo mwenye umri wa miaka 62 alimtaka katika timu yake mpya, Old Trafford.
"Baada ya mechi aliniomba nije Manchester," Robben alisema akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Uholanzi, NOS.
Amekosekana: Louis van Gaal amemkosa Arjen Robben aliyetaka kuhamia nays Manchester United

Lakini kwa bahati mbaya kwa mashabiki wa United, Robben amepiga chini ombi hilo na kusema: "Nina furaha sana kwa mahali nilipo. Nilimuambia (Van Gaal) hivyo. Van Gaal ni kocha bora niliyewahi kuwa naye. Tumekuwa a uhusiano mzuri sana, lakini siwezi kuhama. Niko sehemu sahihi Bayern, hivyo sina cha kufanya na Van Gaal au United,".
Baadaye na Van Gaal akathibitisha nia yake ya kumsajili Robben atue Old Trafford. "Wakati wowote anakaribishwa. Lakini anajua hiki yeye mwenyewe,"amesema.
Pals: Robben said he had a 'special' relationship with Van Gaal but rejected an Old Trafford switch
Twende Old Trafford: Van Gaal ameshindwa kumshawishi Robben ahamie Old Trafford

Dear readers, after reading the Content please ask for advice and to provide constructive feedback Please Write Relevant Comment with Polite Language.Your comments inspired me to continue blogging. Your opinion much more valuable to me. Thank you.