TP MAZEMBE YAMSAJILI ALI SADIKI

TP MAZEMBE YAMSAJILI ALI SADIKI

No Comments
Rais wa klabu ya TP Mazembe Moise Katumbi Klabu bingwa ya soka katika Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, TP Mazembe, imemsajili mchezji wa kimaataifa raia wa Zimbabwe, Ali Sadiki. Mchezaji huyo...
MECHI YA TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUONESHWA NA AZAM TV

MECHI YA TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUONESHWA NA AZAM TV

No Comments
...
HUZUNI! MBEYA CITY FC YACHAPWA 1-0 NA VICTORIA UNIVERSITY ROBO FAINALI

HUZUNI! MBEYA CITY FC YACHAPWA 1-0 NA VICTORIA UNIVERSITY ROBO FAINALI

No Comments
Na Baraka Mpenja, Dar es salaamWAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya CECAFA Nile Basin Cup, Mbeya City fc wameaga mashindano hayo baada ya kufungwa bao 1-0 dhidi ya Victoria University ya Uganda...
UGANDA RWANDA KENYA ZASONGA MBELE KAZI KWA TAIFA STARS

UGANDA RWANDA KENYA ZASONGA MBELE KAZI KWA TAIFA STARS

No Comments
BAO PEKEE LA MASSA LAWAVUSHA UGANDA HATUA INAYOFUATA, RWANDA YAIKANYAGA LIBYA 3-0 Na Baraka Mpenja, Dar es salaamUGANDA The Cranes imefanikiwa kusonga hatua inayofuata katika michuano ya kuwania kupangwa...
CHRISTIANO RONALD 100% KOMBE LA DUNIA

CHRISTIANO RONALD 100% KOMBE LA DUNIA

No Comments
Hili ndio gari alilowasili nalo. Ni jana tu May 29 2014 Cristiano Ronaldo ametajwa kushika namba moja kwenye list ya mastaa kumi wa soka ambao wanavutia kibiashara na kufanya kazi na makampuni makubwa...
REAL MADRID YAADHIBIWA KWA UBAGUZI WA RANGI

REAL MADRID YAADHIBIWA KWA UBAGUZI WA RANGI

No Comments
Shirika la kandanda la Europa, UEFA, limeiwekea vikwazo timu ya mpira ya Real Madrid kwa makosa ya mashabiki wao, waliotoa ishara na kejeli za ubaguzi wa rangi wakati wa moja ya mechi zake. Tukio...
MBWANA SAMATTA HATIHATI KUIKOSA MECHI ZA TAIFA STARS DHIDI YA ZIMBABWE

MBWANA SAMATTA HATIHATI KUIKOSA MECHI ZA TAIFA STARS DHIDI YA ZIMBABWE

No Comments
Mbwana Samatta siku alipoumia wakati TP Mazembe ikikabiliana na AS Vita mei 25 mwaka huu. Na Baraka Mpenja, Dar es salaamMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya TP Mazembe ya DR...
MAN U WASHANGILIA KIFO CHA GLAZER

MAN U WASHANGILIA KIFO CHA GLAZER

No Comments
Man U washangilia kifo cha Glazer By Israel Saria on May 30, 2014 Washabiki wa Manchester United wamegawanyika baada ya kutangazwa habari za kifo cha mmiliki wa klabu hiyo, Malcolm Glazer kambi...
VIJANA MIAKA 15 TANZANIA WASHIKA NAFASI YA PILI AFRIKA

VIJANA MIAKA 15 TANZANIA WASHIKA NAFASI YA PILI AFRIKA

No Comments
Tanzania imeshika nafasi ya pili kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa mpira wa miguu kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya jana (Mei 29 mwaka huu) kuilaza Afrika Kusini...
ETO'O AMTUNISHIA MISURI MOURINHO ATANGAZA KUJIUNGA ARSENAL

ETO'O AMTUNISHIA MISURI MOURINHO ATANGAZA KUJIUNGA ARSENAL

No Comments
Eto’o aitaka Arsenal By Israel Saria on May 29, 2014 *Asema Mourinho ni kibaraka Mshambuliaji wa kati wa Cameroon, Samuel Eto’o ametangaza kutaka kujiunga na Arsenal ili amwoneshe Jose Mourinho...
MINALA ANA MIAKA 17SIO 42

MINALA ANA MIAKA 17SIO 42

No Comments
Minala ana miaka 17 si 42 By Israel Saria on May 29, 2014 “Usoni mwake kuna alama au dalili za maisha yake ya nyuma, ambayo hayakuwa mazuri” Hatimaye kitendawili cha umri wa msakata ndinga wa...
TAKUKURU WABISHA HODI UCHAGUZI WA SIMBA

TAKUKURU WABISHA HODI UCHAGUZI WA SIMBA

No Comments
By Israel Saria on May 29, 2014 *JULIO, MKWABI, WASOTA*WAMBURA AKATA RUFAA MAAFISA kutoka katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) jana waliivamia Kamati ya Uchaguzi ya Klabu...
WAMBURA AWASILISHA PINGAMIZI LAKE TFF

WAMBURA AWASILISHA PINGAMIZI LAKE TFF

No Comments
WAMBURA AKIONYESHA PINGAMIZI LAKE NDANI YA OFISI ZA TFF, LEO. Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura leo wamewasilisha pigamizi lake la kuondolewa kwenye uchaguzi wa Simba. Wambura amewasilisha...
MBEYA CITY FC KUUMANA NA UGANDA VICTORIA UNIVERSITY HATUA YA ROBO FAINALI

MBEYA CITY FC KUUMANA NA UGANDA VICTORIA UNIVERSITY HATUA YA ROBO FAINALI

No Comments
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Michuano ya CECAFA Nile Basin Cup inayoendelea kushika kasi nchini Sudan, Mbeya City fc watachuana na Victoria University ya Uganda katika hatua ya robo fainali ya mashindano...
TP MAZEMBE YAWAACHIA SAMATA, ULIMWENGU KUIONGEZEA NGUVU STARS

TP MAZEMBE YAWAACHIA SAMATA, ULIMWENGU KUIONGEZEA NGUVU STARS

No Comments
Klabu ya TP Mazembe imewaruhusu wachezaji wake Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kujiunga na timu ya Taifa (Taifa Stars) ambayo tayari imewasili Harare, Zimbabwe kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika. Taifa...
MICHUANO YA CECAFA YAINGIA ROBO FAINALI

MICHUANO YA CECAFA YAINGIA ROBO FAINALI

No Comments
Baadhi ya timu zitakazomenyana ni pamoja na Leopards ya Kenya, Al Merreikh na Al Sandy ambazo zinaongoza makundi yao Mashindano...
MKUTANO MKUU WA YANGA JUMAPILI

MKUTANO MKUU WA YANGA JUMAPILI

No Comments
Mkutano Mkuu wa Wanachama wa mabadiliko ya baadhi ya Vipengele kwenye Katiba utafanyika siku ya jumapili Juni Mosi 2014 katika Ukumbi wa Bwalo la Polisi - Oysterbay...
MBEYA CITY FC WATINGA ROBO FAINALI YA CECAFA NILE BASIN CUP MJINI KHARTOUM

MBEYA CITY FC WATINGA ROBO FAINALI YA CECAFA NILE BASIN CUP MJINI KHARTOUM

No Comments
  MBEYA City imetinga Robo Fainali za michuano ya CECAFA Nile Basin Cup inayoendelea nchini Sudan baada ya  sare ya bila kufungana na Enticelles ya Rwanda usiku wa jana katika Uwanja wa...

FOOTBALL

ATHLETIC