Rais wa klabu ya TP Mazembe Moise Katumbi
Klabu bingwa ya soka katika Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, TP Mazembe, imemsajili mchezji wa kimaataifa raia wa Zimbabwe, Ali Sadiki.
Mchezaji huyo...
Na Baraka Mpenja, Dar es salaamWAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya CECAFA Nile Basin Cup, Mbeya City fc wameaga mashindano hayo baada ya kufungwa bao 1-0 dhidi ya Victoria University ya Uganda...
BAO PEKEE LA MASSA LAWAVUSHA UGANDA HATUA INAYOFUATA, RWANDA YAIKANYAGA LIBYA 3-0
Na Baraka Mpenja, Dar es salaamUGANDA The Cranes imefanikiwa kusonga hatua inayofuata katika michuano ya kuwania kupangwa...
Hili ndio gari alilowasili nalo.
Ni jana tu May 29 2014 Cristiano Ronaldo ametajwa kushika namba moja kwenye list ya mastaa kumi wa soka ambao wanavutia kibiashara na kufanya kazi na makampuni makubwa...
Shirika la kandanda la Europa, UEFA, limeiwekea vikwazo timu ya mpira ya Real Madrid kwa makosa ya mashabiki wao, waliotoa ishara na kejeli za ubaguzi wa rangi wakati wa moja ya mechi zake.
Tukio...
Mbwana Samatta siku alipoumia wakati TP Mazembe ikikabiliana na AS Vita mei 25 mwaka huu.
Na Baraka Mpenja, Dar es salaamMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya TP Mazembe ya DR...
Man U washangilia kifo cha Glazer
By Israel Saria on May 30, 2014
Washabiki wa Manchester United wamegawanyika baada ya kutangazwa habari za kifo cha mmiliki wa klabu hiyo, Malcolm Glazer kambi...
Tanzania imeshika nafasi ya pili kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa mpira wa miguu kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya jana (Mei 29 mwaka huu) kuilaza Afrika Kusini...
Eto’o aitaka Arsenal
By Israel Saria on May 29, 2014
*Asema Mourinho ni kibaraka
Mshambuliaji wa kati wa Cameroon, Samuel Eto’o ametangaza kutaka kujiunga na Arsenal ili amwoneshe Jose Mourinho...
Minala ana miaka 17 si 42
By Israel Saria on May 29, 2014
“Usoni mwake kuna alama au dalili za maisha yake ya nyuma, ambayo hayakuwa mazuri”
Hatimaye kitendawili cha umri wa msakata ndinga wa...
By Israel Saria on May 29, 2014
*JULIO, MKWABI, WASOTA*WAMBURA AKATA RUFAA
MAAFISA kutoka katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) jana waliivamia Kamati ya Uchaguzi ya Klabu...
WAMBURA AKIONYESHA PINGAMIZI LAKE NDANI YA OFISI ZA TFF, LEO.
Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura leo wamewasilisha pigamizi lake la kuondolewa kwenye uchaguzi wa Simba.
Wambura amewasilisha...
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Michuano ya CECAFA Nile Basin Cup inayoendelea kushika kasi nchini Sudan, Mbeya City fc watachuana na Victoria University ya Uganda katika hatua ya robo fainali ya mashindano...
Klabu ya TP Mazembe imewaruhusu wachezaji wake Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kujiunga na timu ya Taifa (Taifa Stars) ambayo tayari imewasili Harare, Zimbabwe kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika.
Taifa...
Mkutano
Mkuu wa Wanachama wa mabadiliko ya baadhi ya Vipengele kwenye Katiba
utafanyika siku ya jumapili Juni Mosi 2014 katika Ukumbi wa Bwalo la
Polisi - Oysterbay...
MBEYA City imetinga Robo Fainali za michuano ya CECAFA Nile Basin Cup inayoendelea nchini Sudan baada ya sare ya bila kufungana na Enticelles ya Rwanda usiku wa jana katika Uwanja wa...