WAMBURA AWASILISHA PINGAMIZI LAKE TFF

No Comments
WAMBURA AKIONYESHA PINGAMIZI LAKE NDANI YA OFISI ZA TFF, LEO.


Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura leo wamewasilisha pigamizi lake la kuondolewa kwenye uchaguzi wa Simba.


Wambura amewasilisha pingamizi hilo kwenye ofisi za TFF katikati ya jijini la Dar es Salaam.
WAMBURA AKIWASILI KWENYE OFISI ZA TFF, LEO.

Wambura amesisitiza kuwa anachotaka haki ipatikane na anapingwa kuondolewa.
Kamati ya uchaguzi ya Simba inayoongozwa na mwanasheria na wakili maarufu nchini Dkt Damas Daniel Ndumbaro ilimuengua Wambura baada ya kugundua si mwanachama halali kutoka na kuondolewa mwaka 2010 baada ya kuipeleka Simba mahakamani.

Dear readers, after reading the Content please ask for advice and to provide constructive feedback Please Write Relevant Comment with Polite Language.Your comments inspired me to continue blogging. Your opinion much more valuable to me. Thank you.